Unknown Unknown Author
Title: ZAHA ALIYEONEKANA WA KAZI GANI MAN UNITED AIPA USHINDI CARDIFF CITY
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
WACHZAJI wapya wa Cardiff wameanza vizuri baada ya Wilfried Zaha na Kenwyne Jones kuiwezesha timu hiyo kushinda mabao 2-1 dhidi ya Norw...
WACHZAJI wapya wa Cardiff wameanza vizuri baada ya Wilfried Zaha na Kenwyne Jones kuiwezesha timu hiyo kushinda mabao 2-1 dhidi ya Norwich.
Robert Snodgrass aliifungia Norwich bao la kuongoza dakika ya tano Uwanja wa Cardiff City, lakini Zaha aliyetua timu hiyo kwa mkopo kutoka Manchester United, aliyetokea benchi alimtengenezea nafasi Craig Bellamy kufunga bao la kusawazisha kipindi cha pili, na Jones akafunga la ushindi dakika kadhaa baadaye.
Raha tupu: Kenwyne Jones (katikati) akishangilia kuifungia Cardiff City bao la pili dhidi ya Norwich City

About Author

Advertisement

Post a Comment

AMANZI "TELEVISION"

 
Top