Unknown Unknown Author
Title: BERBATOV ATUA MONACO KUZIBA PENGO LA FALCAO
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
MSHAMBULIAJI Dimitar Berbatov amejiunga na Monaco ya Ufaransa kwa mkopo kutoka Fulham hadi mwishoni mwa msimu. Mchezaji huyo mwenye umr...
MSHAMBULIAJI Dimitar Berbatov amejiunga na Monaco ya Ufaransa kwa mkopo kutoka Fulham hadi mwishoni mwa msimu.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33amechagua kuhamia Ligue 1 badala ya kurejea Tottenham iliyomtaka pia.
Hakuna kurudi: Dimitar Berbatov ameondoka Fulham na kutua Monaco ingawa Spurs walimtaka pia

Vimwaga fedha Monaco wamemchukua Berbatov azibe pengo la mshambuliaji wao nyota Radamel Falcao, ambaye amefanyiwa upasuaji wa goti wiki iliyopita.
Kocha Rene Meulensteen alikuwa akikimbizana ile mbaya kupata saini ya mchezaji huyo katika siku ya leo ya mwisho ya usajili wa dirisha dogo Ulaya.

About Author

Advertisement

Post a Comment

AMANZI "TELEVISION"

 
Top